NYOTA wa zamani wa Asrenal, Mfaransa Robert Pires amepata mapokezi makubwa wakati anawasili kwa ajili ya kusiani FC Goa ya India.
Pires
alilazimika kusimama na kupiga picha na mashabiki na kuwasainia
autographs wakati anawasili India na kisha akatweet: "Sikujua kama nina
mashabiki wengi namna hii India!'

No comments:
Post a Comment